Yaliyomo
Agosti 2013
© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.
HABARI ZAIDI
MATINEJA
VIJANA HUULIZA . . .
Kwa Nini Mimi Hujikata Kimakusudi?
Msichana mmoja anayeitwa Jerrine anasema hivi: “Kila mara nilipojikata kimakusudi, ni kana kwamba nilisahau matatizo yangu, na nikawaza kwamba sikuhitaji kuyashughulikia.” Vijana wengi wana tatizo la kujiumiza kimakusudi. Kwa nini wao hujiumiza? Je, ni mtindo wa muda tu? Ikiwa una tabia hiyo, unaweza kupata wapi msaada?
(Tafuta chini ya MAFUNDISHO YA BIBLIA > MATINEJA)
WATOTO
Someni pamoja hadithi za Biblia zilizochorwa. Tumia kurasa zenye mazoezi kuwasaidia watoto wako waboreshe ujuzi wao kuhusu watu wanaosimuliwa katika Biblia na kanuni za maadili.
(Tafuta chini ya MAFUNDISHO YA BIBLIA > WATOTO)