Utangulizi
Kuacha mazoea mabaya huchukua muda, hata hivyo, je, kuna faida yoyote?
Biblia inasema hivi:
“Mwisho wa jambo ni bora kuliko mwanzo wake.”—Mhubiri 7:8.—Mhubiri 7:8.
Makala hizi zinazungumzia kanuni za Biblia zinazoonyesha jinsi watu wanavyoweza kusitawisha mazoea mazuri yatakayowanufaisha.