Utangulizi
Tunaishi katika dunia yenye magonjwa mengi hatari. Tunawezaje kujilinda?
Kitabu cha zamani chenye hekima kinasema hivi: “Mtu mwerevu ni yule ambaye ameona msiba na kujificha.”—Methali 22:3.
Makala hii ya gazeti la “Amkeni!” inazungumzia hatua tunazoweza kuchukua ili kujilinda na hivyo kupunguza hatari ya kuambukizwa magonjwa.