Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 223
  • Washikamanifu Wako Watakubariki

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Washikamanifu Wako Watakubariki
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Astahili Sifa ya Milele
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Yehova Ni Mkuu Katika Upendo Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2021
  • Ni Nani Atakayemsifu Mfalme?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1981
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 223

Wimbo 223

Washikamanifu Wako Watakubariki

(Zaburi 145:10)

1. Washikamanifu wako

Watakubariki,

Wakutangaze Yehova

Na kukutukuza.

Uko juu sana,

Unastahili sifa

Mawazo yako, na

Njia zako za ajabu.

Wanalia kwa furaha;

Mioyo ya shangwe.

Wataka watu wajue

Mambo wajuayo.

2. Mungu alikichagua

Kizazi kimsifu.

Nacho kipo sasa hivi,

Chafuata Mungu.

’Tumwa Mwaminifu,

Na “kondoo wengine”

Sasa wanakula,

Wakiongozwa na Yesu.

Washikamani wasifu

Kazi, jina lako.

Wabubujika kusema

Juu yako wewe.

3. Yehova mwema kwa wote;

Tuna uhakika.

Atawaokoa watu

—Kupitia Yesu.

Anavumilia;

Watu wake wajua.

Na tunashukuru

Ataka kuwa na sisi!

Yeye anatuinua

Na kutushibisha.

Twamubariki daima;

Tukisifu wema.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki