Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • jd uku. 138
  • Ingojee Siku ya Yehova kwa Shangwe

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ingojee Siku ya Yehova kwa Shangwe
  • Izingatie Siku ya Yehova Maishani
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Endeleeni Kuitarajia’ Siku ya Yehova
    Izingatie Siku ya Yehova Maishani
  • “Mikono Yako Isilegee”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • “Fulizeni Kunitarajia”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Kitabu Cha Biblia Namba 36—Sefania
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
Pata Habari Zaidi
Izingatie Siku ya Yehova Maishani
jd uku. 138
Picha katika ukurasa wa 139

SEHEMU YA 4

Ingojee Siku ya Yehova kwa Shangwe

Yehova aliwatumia manabii wake kuonya kuhusu jambo ambalo lingetokea wakati ujao, yaani, kumwagwa kwa hasira yake. Lakini hatupaswi kumwona kuwa Mungu mwenye hasira. Yeye ‘huwashangilia watu wake kwa vilio vya furaha.’ Tunapotazamia siku yake kuu, tuna kila sababu ya ‘kushangilia na kufurahia kwa moyo wote.’ (Sefania 3:14, 17) Utaonyeshaje hivyo kwa matendo na mtazamo wako? Kwa nini ushukuru kwa sababu ya mambo unayojifunza katika vile vitabu 12 vya kinabii?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki