SEHEMU YA 9
Ukuzi Wa Kiroho
Ni jambo gani kati ya mambo yafuatayo unaloona kuwa gumu zaidi?
□ Kujifunza Biblia
□ Kusali kwa ukawaida kwa Yehova Mungu
□ Kuzungumza na wengine (hasa vijana wenzangu) kuhusu imani yangu
□ Kukubali viwango vya Biblia
Andika hapa chini mradi ambao ungependa kujiwekea kuhusu jambo unaloona kuwa gumu zaidi.
․․․․․
Sura ya 34-38 zitakusaidia kuona jinsi unavyoweza kuimarisha hali yako ya kiroho, kuishi kupatana na viwango vya Biblia, na kujiwekea miradi itakayofanya maisha yako yawe na mwelekeo na kusudi.
[Picha katika ukurasa wa 280, 281]