Wimbo Na. 125
Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu
Makala Iliyochapishwa
1. Watu wa Yehova tutangazapo,
Kweli za Ufalme zenye thamani.
Utaratibu wa kitheokrasi,
Lazima tutii, kuwe umoja.
(KORASI)
Tuna wajibu wa kumutii
Yehova milele.
Anatupenda, na kutulinda.
Twashikamana naye.
2. Mungu ametupa mutumwa wake,
Pia roho yake siku kwa siku.
Na twende sambamba; bega kwa bega,
Tujulishe wote amri za Mungu.
(KORASI)
Tuna wajibu wa kumutii
Yehova milele.
Anatupenda, na kutulinda.
Twashikamana naye.
(Ona pia Luka 12:42; Ebr. 13:7, 17.)