Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 125
  • Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kutii Kishikamanifu Utaratibu wa Kitheokrasi
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kukabili Mtihani wa Uaminifu-Mshikamanifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • “Wewe Peke Yako Ni Mwaminifu-Mshikamanifu”
    Mkaribie Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 125

Wimbo Na. 125

Kutii Utaratibu wa Kitheokrasi kwa Ushikamanifu

Makala Iliyochapishwa

(1 Wakorintho 14:33)

1. Watu wa Yehova tutangazapo,

Kweli za Ufalme zenye thamani.

Utaratibu wa kitheokrasi,

Lazima tutii, kuwe umoja.

(KORASI)

Tuna wajibu wa kumutii

Yehova milele.

Anatupenda, na kutulinda.

Twashikamana naye.

2. Mungu ametupa mutumwa wake,

Pia roho yake siku kwa siku.

Na twende sambamba; bega kwa bega,

Tujulishe wote amri za Mungu.

(KORASI)

Tuna wajibu wa kumutii

Yehova milele.

Anatupenda, na kutulinda.

Twashikamana naye.

(Ona pia Luka 12:42; Ebr. 13:7, 17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki