Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 1
  • Sifa za Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sifa za Yehova
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sifa za Yehova
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Sifa za Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Viumbe Hai Wanne Wenye Nyuso Nne” Ni Nani?
    Hatimaye Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa!
  • “Acheni Nuru Yenu Iangaze” ili Yehova Atukuzwe
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 1

Wimbo Na. 1

Sifa za Yehova

Makala Iliyochapishwa

(Ufunuo 4:11)

1. Yehova U Mungu daima,

U chanzo cha nuru na uzima.

Wasifiwa nazo kazi zako;

Zaonyesha nguvu zako.

2. Utawala wako wa haki.

Watufunza tufuate haki.

Tunapolisoma Neno lako,

Twaona hekima yako.

3. Kweli wewe ni mukarimu.

Upendo ni sifa yako kuu.

Jina lako, sifa zako pia,

Twafurahi kutangaza.

(Ona pia Zab. 36:9; 145:6-13; Yak. 1:17.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki