Wimbo Na. 16
Kimbilia Ufalme wa Mungu!
Makala Iliyochapishwa
1. Mutafuteni Yehova, wapole;
Na kutafuta uadilifu.
Ili wakati wa hasira yake,
Awafiche wa’dilifu.
(KORASI)
Kimbilia Ufalme wa Mungu;
Tumaini la watu.
Ulinzi na baraka utapata;
Amri yake sikia.
2. Munaotafuta kweli na haki;
Mbona munalia kwa huzuni?
Itafuteni njia ya Yehova,
Na Kristo muheshimuni.
(KORASI)
Kimbilia Ufalme wa Mungu;
Tumaini la watu.
Ulinzi na baraka utapata;
Amri yake sikia.
3. Inueni vichwa vyenu kwa shangwe;
Ufalme unatawala sasa!
Nuru ya Yehova ikubalini.
Mwogopeni Yeye hasa!
(KORASI)
Kimbilia Ufalme wa Mungu;
Tumaini la watu.
Ulinzi na baraka utapata;
Amri yake sikia.
(Ona pia Zab. 59:16; Met. 18:10; 1 Kor. 16:13.)