Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 16
  • Kimbilia Ufalme wa Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kimbilia Ufalme wa Mungu
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kimbilia Ufalme wa Mungu!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Endeleeni Kuutafuta Kwanza Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Hii Ni Siku ya Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 16

Wimbo Na. 16

Kimbilia Ufalme wa Mungu!

Makala Iliyochapishwa

(Sefania 2:3)

1. Mutafuteni Yehova, wapole;

Na kutafuta uadilifu.

Ili wakati wa hasira yake,

Awafiche wa’dilifu.

(KORASI)

Kimbilia Ufalme wa Mungu;

Tumaini la watu.

Ulinzi na baraka utapata;

Amri yake sikia.

2. Munaotafuta kweli na haki;

Mbona munalia kwa huzuni?

Itafuteni njia ya Yehova,

Na Kristo muheshimuni.

(KORASI)

Kimbilia Ufalme wa Mungu;

Tumaini la watu.

Ulinzi na baraka utapata;

Amri yake sikia.

3. Inueni vichwa vyenu kwa shangwe;

Ufalme unatawala sasa!

Nuru ya Yehova ikubalini.

Mwogopeni Yeye hasa!

(KORASI)

Kimbilia Ufalme wa Mungu;

Tumaini la watu.

Ulinzi na baraka utapata;

Amri yake sikia.

(Ona pia Zab. 59:16; Met. 18:10; 1 Kor. 16:13.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki