Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 53
  • Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kufanya Kazi kwa Umoja
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Familia ya Yehova Hufurahia Muungano Wenye Thamani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Umoja wa Kikristo Unamletea Mungu Utukufu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 53

Wimbo Na. 53

Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja

Makala Iliyochapishwa

(Waefeso 4:3)

1. Katika zizi la Mungu.

Unabii watimia.

Kuna amani, umoja,

Na furaha tele.

Twapenda umoja;

Bila mizozo.

Katika kazi ya Mungu,

Kuna mengi ya kufanywa.

Tutumikie pamoja,

Ma’gizo tutii.

2. Tumwombe Yehova Mungu,

Tuwe na akili moja;

Upendo uongezeke;

Tuwe na amani.

Inaburudisha,

Inapendeza.

Na tuonyeshe undugu,

Mungu atupe amani.

Umoja wetu udumu,

Tutumikiapo.

(Ona pia Mika 2:12; Sef. 3:9; 1 Kor. 1:10.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki