Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 68
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Sala ya Mtu wa Hali ya Chini
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Tafadhali Sikiliza Sala Yangu
    Mwimbieni Yehova
  • Tafadhali Sikiliza Sala Yangu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Nipe Ujasiri
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 68

Wimbo Na. 68

Sala ya Mtu wa Hali ya Chini

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 4:1)

1. Yehova nakuomba:

‘Sala yangu sikia.’

Vidonda vyangu haviponi;

ninalemewa.

Nimevunjika moyo

na kukata tamaa.

Yehova Mungu wa faraja,

ninakusihi.

(KORASI)

Niinue; nipe nguvu.

Nifariji, Niongoze.

Naja kwako. Ee Yehova,

Mungu wangu, Nguvu zangu.

2. Neno lako lanifariji,

lanipa nguvu.

Lafunua hisia zangu

za ndani sana.

Niwezeshe kulitumaini

Neno lako.

Wewe u mukuu kuliko

mioyo yetu.

(KORASI)

Niinue; nipe nguvu.

Nifariji, Niongoze.

Naja kwako. Ee Yehova,

Mungu wangu, Nguvu zangu.

(Ona pia Zab. 42:6; 119:28; 2 Kor. 4:16; 1 Yoh. 3:20.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki