Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 6-7
  • Utangulizi wa Sehemu ya 1

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 1
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Jifunze Mengi Zaidi Kumhusu Yehova Kupitia Uumbaji Wake
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Tumia Uumbaji Kuwafundisha Watoto Wako Kumhusu Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Jinsi Uumbaji Unavyofunua Upendo wa Mungu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Uumbaji au Mageuzi?—Sehemu ya 3: Kwa Nini Uamini Uumbaji?
    Vijana Huuliza
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 6-7
Watu wenye furaha wanafurahia uumbaji

Utangulizi wa Sehemu ya 1

Biblia inaanza kwa kusimulia kuhusu uumbaji. Tunapotazama tunaona vitu vingi vizuri ambavyo Yehova ameumba, vilivyo mbinguni na duniani. Ikiwa wewe ni mzazi, msaidie mtoto wako kuona uzuri wa uumbaji. Mweleze kwamba Mungu aliwaumba wanadamu wakiwa tofauti sana na wanyama, kwa kuwapa uwezo wa kuongea, kufikiri, kubuni, kuimba, na kusali. Msaidie athamini nguvu na hekima ya Yehova na jambo muhimu zaidi upendo wake kwa viumbe wote—kutia ndani kila mmoja wetu.

MAMBO MAKUU

  • Yehova na Mwana wake waliumba dunia iwe makao yetu

  • Yehova alianzisha mpango wa familia kwa kumuumba mwanamume na mwanamke na kuwapa uwezo wa kuzaa watoto

  • Yehova alikusudia kwamba wanadamu waishi milele kwa amani na umoja

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki