Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 22-23
  • Utangulizi wa Sehemu ya 3

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 3
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Alimwita “Rafiki Yangu”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • Unaweza Kuwa Rafiki ya Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Abrahamu Alikuwa Nani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Abrahamu—Mwanamume Mwenye Upendo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 22-23
Abrahamu akizungumza na Isaka kuhusu nyota

Utangulizi wa Sehemu ya 3

Baada ya Gharika, Biblia inasimulia kuhusu watu wachache waliomtumikia Yehova. Mmoja wao ni Abrahamu, aliyejulikana kuwa rafiki ya Yehova. Kwa nini aliitwa rafiki ya Yehova? Ikiwa wewe ni mzazi, mfundishe mtoto wako kwamba Yehova anapendezwa naye kibinafsi na anataka kumsaidia. Kama Abrahamu na wanaume wengine waaminifu, kama vile Loti na Yakobo, tunaweza kumwomba Yehova atusaidie. Tunaweza kuwa na hakika kwamba Yehova atatimiza ahadi zake zote.

MAMBO MAKUU

  • Fanya mambo yote ambayo Yehova anataka ufanye, hata ikiwa si rahisi

  • Urafiki pamoja na Mungu ni muhimu kuliko kitu kingine chochote

  • Yehova hufurahi tunapowasamehe wengine na kufanya amani haraka iwezekanavyo

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki