Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 38-39
  • Utangulizi wa Sehemu ya 4

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 4
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Utangulizi wa Sehemu ya 11
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Alikuwa Baba na Mume Aliyemwogopa Mungu
    Igeni Imani Yao
  • “Mwamuzi wa Dunia Yote” Hufanya Yaliyo Sawa Sikuzote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Aliilinda Familia Yake, Akawaandalia, na Akavumilia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 38-39
Musa na Waisraeli wakitazama Bahari Nyekundu ikigawanyika

Utangulizi wa Sehemu ya 4

Katika sehemu hii tutajifunza kuhusu Yosefu, Ayubu, Musa, na Waisraeli. Wote walivumilia mambo mengi mabaya kutoka kwa Ibilisi. Baadhi yao walitendewa isivyo haki, wakafungwa gerezani, wakawa watumwa, na hata wengine wakauawa. Hata hivyo, Yehova aliwalinda katika njia mbalimbali. Ikiwa wewe ni mzazi, msaidie mtoto wako aelewe jinsi ambavyo watumishi hao wa Yehova walivumilia mambo mabaya bila kuruhusu imani yao idhoofike.

Yehova alileta Mapigo Kumi ili kuonyesha yeye ni mwenye nguvu kuliko miungu yote ya Wamisri. Kazia jinsi ambavyo Yehova aliwalinda watu wake wakati uliopita na jinsi anavyofanya hivyo leo.

MAMBO MAKUU

  • Yosefu alikataa kujihusisha na ukosefu wa maadili kwa sababu alimpenda Yehova

  • Ayubu hakuruhusu mateso makali yamtenganishe na Yehova

  • Popote alipokuwa, Musa hakusahau kamwe kwamba yeye ni mtumishi wa Mungu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki