Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 5
  • Kazi za Mungu za Ajabu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kazi za Mungu za Ajabu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kazi za Mungu za Ajabu
    Mwimbieni Yehova
  • Kazi Kubwa na za Ajabu za Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Tumeumbwa kwa Njia ya Ajabu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Yehova Atujua Vema!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 5

WIMBO NA. 5

Kazi za Mungu za Ajabu

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 139)

  1. 1. Mungu, wanijua vizuri,

    Nilalapo na niamkapo.

    Na fikira zangu umechunguza,

    Maneno na matendo yangu

    wajua.

    Sirini nilipofanyizwa,

    Uliiona mifupa yangu.

    Yote yalikuwa yameandikwa.

    Unastahili sifa

    na utukufu.

    Ee, Yehova, una hekima nyingi;

    Nafsi yangu inajua vema.

    Hata katika giza la usiku,

    Roho yako itaniongoza.

    Yehova nijifiche wapi,

    Kutoka mbele za uso wako?

    Si Kaburini wala si mbinguni,

    Gizani wala baharini,

    siwezi.

(Ona pia Zab. 66:3; 94:19; Yer. 17:10.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki