Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 13
  • Kristo, Kielelezo Chetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kristo, Kielelezo Chetu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Jiji la Kipekee Lililojengwa kwa Karatasi
    Amkeni!—2012
  • Kichwa cha mazungumzo
    Huduma Yetu ya Ufalme—1991
  • Tunapaswa Kusali kwa Mungu Jinsi Gani?
    Amkeni!—2012
  • Ishi Kupatana na Sala ya Mfano—Sehemu ya Kwanza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 13

WIMBO NA. 13

Kristo, Kielelezo Chetu

Makala Iliyochapishwa

(1 Petro 2:21)

  1. 1. Yehova ni mwenye,

    upendo na mwema,

    Katoa Mwana wake wa Pekee

    Awe mwanadamu,

    kusudi tumwige

    Tulitukuze jina la Mungu

  2. 2. Neno la Yehova,

    lilimwimarisha.

    Kwake lilikuwa kama chakula.

    Kawa na hekima,

    ufahamu pia,

    Katuachia kielelezo

  3. 3. Kama Yesu Kristo,

    tumsifu Mungu

    Tuzifuate hatua za Yesu.

    Tumwige daima,

    maishani mwetu.

    Tutapata kibali cha Mungu.

(Ona pia Yoh. 8:29; Efe. 5:2; Flp. 2:​5-7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki