Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 34
  • Kutembea kwa Utimilifu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutembea kwa Utimilifu
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kutembea kwa Utimilifu
    Mwimbieni Yehova
  • Kutembea kwa Ukamilifu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Tembea Katika Njia ya Utimilifu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Kwa Nini Uendelee Kuwa Mtimilifu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 34

WIMBO NA. 34

Kutembea kwa Utimilifu

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 26)

  1. 1. Nihukumu, Nakutumaini;

    Na utimilifu wangu uchunguze.

    Nichunguze na unijaribu;

    Nisafishe moyo, na unibariki.

    (KORASI)

    Ee Yehova, Nimeazimia

    Kuwa mwaminifu, siku zangu zote.

  2. 2. Sikuketi na wadanganyifu.

    Nimelichukia kundi la waovu.

    Tafadhali usiniharibu,

    Pamoja na watu wapendao rushwa.

    (KORASI)

    Ee Yehova, Nimeazimia

    Kuwa mwaminifu, siku zangu zote.

  3. 3. Nyumba yako naipenda sana.

    Na ibada yako, naitanguliza.

    Nizunguke madhabahu yako,

    Nitangaze kote kazi zako zote.

    (KORASI)

    Ee Yehova, Nimeazimia

    Kuwa mwaminifu, siku zangu zote.

(Ona pia Zab. 25:2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki