Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 57
  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Kuwahubiria Watu wa Namna Zote
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
  • Kaza Macho Kwenye Zawadi!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kufanikisha Maisha Yetu
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 57

WIMBO NA. 57

Kuwahubiria Watu wa Namna Zote

Makala Iliyochapishwa

(1 Timotheo 2:4)

  1. 1. Twatamani kumwiga Yehova,

    Mungu asiye na ubaguzi.

    Ni mapenzi yake watu wote,

    Wapate uzima wa milele.

    (KORASI)

    Hatutazami sura;

    Wala hali za watu.

    Twatangazia wote ujumbe.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawakaribisha wote,

    Wawe rafiki za Yehova.

  2. 2. Haidhuru wapatikanapo,

    Wanavyoonekana mwanzoni.

    La muhimu, walivyo moyoni​—⁠

    Alivyo yule mtu wa ndani.

    (KORASI)

    Hatutazami sura;

    Wala hali za watu.

    Twatangazia wote ujumbe.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawakaribisha wote,

    Wawe rafiki za Yehova.

  3. 3. Yehova awapa wote fursa,

    Waache njia za ulimwengu.

    Tuna hamu kujulisha wengi,

    Basi tuwahubirie wote.

    (KORASI)

    Hatutazami sura;

    Wala hali za watu.

    Twatangazia wote ujumbe.

    Kwa kuwa twawajali,

    Twawakaribisha wote,

    Wawe rafiki za Yehova.

(Ona pia Yoh. 12:32; Mdo. 10:34; 1 Tim. 4:10; Tit. 2:11.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki