Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 102
  • “Mwasaidie Walio Dhaifu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Mwasaidie Walio Dhaifu”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Mwasaidie Wale Walio Dhaifu”
    Mwimbieni Yehova
  • “Ni Lazima Msaidie Wale Walio Dhaifu”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Imewapasa Kuwasaidia Wanyonge”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1983
  • ‘Iweni na Upendo Miongoni Mwenu Wenyewe’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 102

WIMBO NA. 102

“Mwasaidie Walio Dhaifu”

Makala Iliyochapishwa

(Matendo 20:35)

  1. 1. Kila mmoja wetu

    Dhambi hutenda.

    Hata hivyo, Yehova

    Anatupenda.

    Ni mwenye rehema,

    Twataka kumwiga.

    Ambao ni dhaifu,

    Tusaidie.

  2. 2. Imani ya wengine,

    Imepungua.

    Kupitia maneno

    Tuwafariji.

    Walio dhaifu

    Ni wa Mungu pia.

    Tuwahangaikie,

    Waimarike.

  3. 3. Tusiwe wachambuzi,

    Tusiwakwaze.

    Tuonyeshe fadhili,

    Waimarike.

    Tuwe na bidii,

    Moyo tuwatie;

    Na tuwategemeze,

    Wafarijike.

(Ona pia Isa. 35:​3, 4; 2 Kor. 11:29; Gal. 6:2.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki