Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 107
  • Mungu​—⁠Kielelezo cha Upendo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mungu​—⁠Kielelezo cha Upendo
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • “Endeleeni Kutembea Katika Upendo”
    Mkaribie Yehova
  • Upendo Ni Sifa Yenye Thamani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Mpende Mungu Anayekupenda
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • “Katika Hayo Lililo Kuu ni Upendo”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 107

WIMBO NA. 107

Mungu—Kielelezo cha Upendo

Makala Iliyochapishwa

(1 Yohana 4:19)

  1. 1. Yehova Mungu ni kielelezo.

    Mungu ni Upendo.

    Atuongoza kwa upendo wake.

    Tuonyeshe sifa zake.

    Alimtoa Yesu Mwana wake.

    Kwa dhambi zetu; tupate wokovu.

    Upendo huo—Hauna kifani!

    Mungu wetu, Mungu ni ’Pendo.

  2. 2. Tumwige Mungu, tuwe na upendo

    Kwa ndugu na dada.

    Tuwe tayari kuwasaidia,

    Wa zamani; wapya pia.

    Tuwaonyeshe upendo mwororo.

    Tusibague huyu au yule.

    Tuwasamehe watukoseapo.

    Tuwapende; tupende wote.

  3. 3. Kupenda Mungu kunatuchochea,

    Daima; Milele.

    Yehova Mungu anatuhimiza:

    ‘Onjeni na Mwone kweli’

    Twaunganishwa na upendo wake,

    Neno la Mungu linatusafisha.

    Na roho yake inatuchochea.

    Mungu wetu, Mungu ni ’Pendo.

(Ona pia Rom. 12:10; Efe. 4:3; 2 Pet. 1:7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki