Sikiliza kwa Makini ili Upate Majibu ya Maswali Haya:
Amri iliyo kuu ni ipi, na kwa nini amri hiyo ni muhimu? (Mt. 22:37, 38; Marko 12:30)
Tunaweza kufaulu jinsi gani kuepuka kuupenda ulimwengu? (1 Yoh. 2:15-17)
Tunaweza kuwafundishaje wengine “kulipenda jina la Yehova”? (Isa. 56:6, 7)
Tunaweza kuonyeshaje upendo wa kindugu usio na unafiki? (1 Yoh. 4:21)
Wazazi wanawezaje kuwafundisha watoto wao kumpenda Yehova? (Kum. 6:4-9)
Unaweza kuthibitishaje kwamba Yehova ni Rafiki yako wa karibu zaidi? (1 Yoh. 5:3)
Tunapaswa kufanya nini ili tufanikiwe kudumisha au kurudisha upendo wetu kwa Yehova?