Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • th somo la 5 uku. 8
  • Kusoma kwa Usahihi

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kusoma kwa Usahihi
  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Habari Zinazolingana
  • Kusoma kwa Usahihi
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Jitahidi Uwe Msomaji Mzuri
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Soma Upanue Mipaka ya Maarifa Yako
    Amkeni!—1992
  • Sanduku La Swali
    Huduma Yetu ya Ufalme—1996
Pata Habari Zaidi
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
th somo la 5 uku. 8

SOMO LA 5

Kusoma kwa Usahihi

Andiko lililotajwa

1 Timotheo 4:13

MUHTASARI: Soma kwa sauti kile hasa kilichoandikwa kwenye ukurasa.

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Tayarisha vizuri. Elewa kusudi la kuandikwa kwa simulizi hilo. Jizoeze kusoma mafungu ya maneno, si neno mojamoja. Epuka kuongeza, kurukaruka, au kubadilisha maneno. Zingatia alama za vituo.

    Dokezo linalofaa

    Mwombe rafiki afuatane nawe unaposoma na akutajie maneno uliyokosea.

  • Tamka kila neno kwa usahihi. Ikiwa hujui jinsi neno linavyotamkwa, liangalie katika kamusi, sikiliza rekodi ya chapisho lililosomwa, au uombe msaada kutoka kwa msomaji mzuri.

  • Zungumza waziwazi. Tamka maneno waziwazi, inua kichwa chako na ufumbue kabisa kinywa unapoongea. Jitahidi kutamka kila silabi.

    Dokezo linalofaa

    Usikazie kila neno kupita kiasi hivi kwamba uonekane kuwa huzungumzi kwa njia ya kawaida.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki