Tafuta Majibu ya Maswali Haya:
- 1. Tuna mapendeleo gani tukiwa watumishi wa Yehova? (Met. 27:11) 
- 2. Tunaweza kumwigaje Yesu na kuufanya moyo wa Yehova ushangilie? (Yoh 8:29) 
- 3. Tunaweza kumleteaje Yehova shangwe tunapokuwa katika huduma? (Yoh. 15:8) 
- 4. Tunaweza kumfurahishaje Yehova katika sehemu zote za maisha yetu? (Yoh. 14:31; Efe. 6:1-4; Zab. 35:18; 1 Pet. 2:12) 
- 5. Tunaweza kukabilianaje kwa mafanikio na majaribu, mambo yanayovunja moyo, na vishawishi? (Neh. 8:10) 
© 2020 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania