Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 152
  • Mahali Panapokutukuza

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mahali Panapokutukuza
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu
    Mwimbieni Yehova
  • Msifuni Yehova Mungu Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shiriki Kuimba Wimbo wa Ufalme!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Shiriki Kuimba Wimbo wa Ufalme!
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 152

WIMBO NA. 152

Mahali Panapokutukuza

Makala Iliyochapishwa

(1 Wafalme 8:27; 1 Mambo ya Nyakati 29:14)

  1. 1. Yehova, Muumba wa Mbingu,

    Mbinguni hakukutoshi,

    Sembuse basi jengo hili.

    Ila roho yako ipo.

    Wanaotumikia hapa,

    Umewapa nuru yako.

    Twafanya kazi kwa umoja;

    Twakutukuza Yehova.

    (DARAJA)

    Hatuna chochote

    Kisichotoka Kwako.

    Vyote tunavyokupa

    Vimetoka kwako.

    (KORASI)

    Twauthamini wema wako;

    Nyimbo za sifa twaimba.

    Umetimiza ndoto yetu

    Kwa kutupa jengo hili.

  2. 2. Yehova, umetupatia

    Mahali pa kukusifu,

    Pahudumie watu wako,

    Na wengine wakujue.

    Kusudi lako litimie.

    Bado kuna kazi nyingi,

    Ya kuendeleza huduma

    Aliyotupa Mwanao.

    (DARAJA)

    Basi tunakupa

    Vyote vilivyo bora.

    Ni Wewe wastahili,

    Kupokea sifa.

    (KORASI)

    Twauthamini wema wako;

    Nyimbo za sifa twaimba.

    Umetimiza ndoto yetu

    Kwa kutupa jengo hili.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki