2024 Jumla Kuu
Ofisi za Tawi za Mashahidi wa Yehova: 84
Idadi ya Nchi Zinazoripoti: 240
Idadi ya Makutaniko: 118,767
Hudhurio la Ukumbusho Ulimwenguni Pote: 21,119,442
Waliokula Mkate na Kunywa Divai Ulimwenguni Pote: 23,212
Kilele cha Wahubiria: 9,043,460
Wastani wa Wahubiri Watendaji Kila Mwezi: 8,828,124
Asilimia ya Ongezeko Kupita 2023: 2.4
Idadi ya Waliobatizwab: 296,267
Wastani wa Mapainiac Kila Mwezi: 1,679,026
Wastani wa Mapainia Wasaidizi Kila Mwezi: 867,502
Wastani wa Mafunzo ya Bibliad ya Nyumbani Kila Mwezi: 7,480,146
Mwaka wa utumishi wa 2024 ulianza Septemba 1, 2023, hadi Agosti 31, 2024.
a Mhubiri ni yule anayehubiri kwa ukawaida habari njema ya Ufalme wa Mungu. (Mathayo 24:14) Ili upate ufafanuzi kamili kuhusu jinsi idadi hii inavyopatikana, soma makala yenye kichwa “Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?”
b Ili upate habari zaidi kuhusu hatua ambazo mtu anapaswa kuchukua ili abatizwe na kuwa Shahidi wa Yehova, soma makala yenye kichwa “Nifanye Nini Ili Niwe Shahidi wa Yehova?”
c Painia ni shahidi aliyebatizwa ambaye ni mfano mzuri, anayejitolea kutumia idadi hususa za saa kila mwezi kuhubiri habari njema.
d Kwa habari zaidi, soma makala yenye kichwa “Mtaala wa Kujifunza Biblia Unaotolewa na Mashahidi wa Yehova Ni Nini?”