Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w80 7/15 uku. 22
  • Ni Nani Waliokuwa Waonaji?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ni Nani Waliokuwa Waonaji?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Habari Zinazolingana
  • Samweli Anaendeleza Ibada ya Kweli
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • Alivumilia Licha ya Kuvunjwa Moyo
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Samweli wa Kwanza
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • Alivumilia Licha ya Kuvunjwa Moyo
    Igeni Imani Yao
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
w80 7/15 uku. 22

Ni Nani Waliokuwa Waonaji?

Samweli wa Kwanza 9:9 husomwa hivi: “Mtu aitwaye sasa Nabii hapo zamani aliitwa Mwonaji.” Maneno haya yaweza kuonyesha kwamba baada ya manabii kupata kujulikana sana kuanzia na siku za Samweli na kuendelea, neno “Mwonaji” lilikuja kubadilishwa na neno “Nabii” likachukua mahali pake. Waonaji walipata uongozi wa kimungu ‘waone’ hali ya mambo, yaani wafahamu mapenzi ya kimungu. Macho ya mwonaji yalifunuliwa yaone au yafahamu mambo yaliyofichwa watu wengine kwa ujumla. Kwa hiyo, aliendewa atoe shauri katika kushughulika na magumu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki