Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w15 3/1 uku. 7
  • Kifo cha Yesu Huadhimishwa—Lini na Wapi?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kifo cha Yesu Huadhimishwa—Lini na Wapi?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Habari Zinazolingana
  • Tukio ambalo hupaswi kukosa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • “Endeleeni Kufanya Hivi kwa Kunikumbuka Mimi” Ukumbusho wa Kifo cha Yesu Utakuwa Aprili 2
    Huduma ya Ufalme—2007
  • Mlo wa Jioni wa Bwana Una Maana Kubwa Kwako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2003
  • Yehova Hubariki Jitihada Zetu za Kuadhimisha Ukumbusho
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 3/1 uku. 7
Watu wakiadhimisha Ukumbusho wa kifo cha Yesu

HABARI KUU | YESU ANATUOKOA​—KUTOKANA NA NINI?

Kifo cha Yesu Huadhimishwa​—Lini na Wapi?

Usiku uliotangulia kifo chake, Yesu aliwaagiza wanafunzi wake waendelee kuadhimisha kifo chake cha kidhabihu. Aliwaambia hivi: “Endeleeni kufanya hivi kwa kunikumbuka mimi.”—Luka 22:19.

Mwaka huu, Ukumbusho wa kifo cha Yesu utakuwa siku ya Ijumaa, Aprili 3, baada ya jua kutua. Mashahidi wa Yehova wanakualika wewe na familia yako kuhudhuria na kusikiliza hotuba itakayofafanua umuhimu wa kifo cha Yesu na jinsi unavyoweza kufaidika.

Ili ujue mahali utakapohudhuria mwadhimisho huo, tafadhali waulize Mashahidi wa Yehova walio jirani na wewe au tembelea tovuti ya www.jw.org/sw.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki