Utangulizi
UNA MAONI GANI?
Ikiwa ungeambiwa ueleze kuhusu hali ya mbinguni, ungesemaje?
Yesu anaweza kutusaidia kujua hali ya mbinguni kwa sababu alisema hivi: “Mimi ninatoka kwenye makao ya juu.”—Yohana 8:23.
Gazeti hili la Mnara wa Mlinzi linaeleza mambo ambayo Yesu na Baba yake wamefunua kuhusu hali ya mbinguni.