Utangulizi
UNA MAONI GANI?
Je, ni mapenzi ya Mungu kwamba wanadamu wawe wanakufa? Biblia inasema hivi: “[Mungu] atafuta kila chozi kutoka katika macho yao, na kifo hakitakuwapo tena.”—Ufunuo 21:4.
Gazeti hili la Mnara wa Mlinzi linaelezea maoni ya Biblia kuhusu uhai na kifo.