Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp17 Na. 4 uku. 16
  • Biblia Inasema Nini?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Biblia Inasema Nini?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Biblia inaweza kukusaidia kukabiliana na mahangaiko?
  • Je, mahangaiko yatakwisha?
  • Mtwikeni Yehova Hangaiko Lenu Lote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1994
  • Mtupie Yehova Mahangaiko Yako Yote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
  • Mahangaiko
    Amkeni!—2016
  • Jinsi Biblia Inavyoweza Kuwasaidia Wanaume Kukabiliana na Mahangaiko
    Habari Zaidi
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2017
wp17 Na. 4 uku. 16
Familia ikiwa katika Paradiso

Ufalme wa Mungu utakapokuwa ukitawala, watu “watapata furaha yao tele katika wingi wa amani.”​—Zaburi 37:11

Biblia Inasema Nini?

Je, Biblia inaweza kukusaidia kukabiliana na mahangaiko?

Una maoni gani?

  • Ndiyo

  • Hapana

  • Labda

Biblia inasema hivi

“[Tupeni] mahangaiko yenu yote juu yake [Mungu], kwa sababu yeye anawajali ninyi.” (1 Petro 5:⁠7) Biblia inatoa uhakikisho wa kwamba Mungu anaweza kukusaidia kupunguza mahangaiko uliyo nayo.

Mambo mengine tunayojifunza katika Biblia

  • Kupitia sala, unaweza kupata “amani ya Mungu” ambayo hupunguza mahangaiko.​—Wafilipi 4:​6, 7.

  • Kwa kuongezea, kusoma Neno la Mungu kunaweza kukusaidia ukabiliane na mkazo.​—Mathayo 11:​28-​30.

Je, mahangaiko yatakwisha?

Baadhi ya watu wanaamini . . . kwamba mahangaiko na mkazo ni sehemu ya maisha ya wanadamu, na wengine huamini kwamba mahangaiko huisha pale tu mtu anapokufa. Wewe una maoni gani?

Biblia inasema hivi

Mungu ataondoa mambo yanayosababisha mahangaiko. “Kifo hakitakuwapo tena, wala maombolezo wala kilio wala maumivu hayatakuwapo tena.”​—Ufunuo 21:4.

Ni nini kingine tunachojifunza katika Biblia?

  • Chini ya Ufalme wa Mungu, watu wataishi kwa amani na utulivu.​—Isaya 32:18.

  • Hakutakuwa na mahangaiko au mkazo usiofaa.​—Isaya 65:17.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 3 ya kitabu hiki, kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki