Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • wp18 Na. 1 uku. 16
  • Una Maoni Gani?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Una Maoni Gani?
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2018
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Biblia inaweza kukusaidia uwe rafiki ya Mungu?
  • Mungu Anataka Uwe Rafiki Yake
    Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Unaweza Kuwa Rafiki ya Yehova
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Biblia Inasema Nini Kuhusu Urafiki?
    Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Unawezaje Kuwa Rafiki Mzuri?
    Amkeni!—2014
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2018
wp18 Na. 1 uku. 16

Una Maoni Gani?

Je, Biblia inaweza kukusaidia uwe rafiki ya Mungu?

BAADHI YA WATU WANAAMINI . . .

kwamba hawawezi kuwa rafiki za Mungu kwa sababu wanahisi wao si safi au ni wenye dhambi. Wengine husema kwamba Mungu hatujali. Wewe una maoni gani?

BIBLIA INASEMA HIVI

Mungu “ana urafiki wa karibu na watu wanyoofu.” (Methali 3:32) Tukimtii Mungu, tutakuwa rafiki zake.

MAMBO MENGINE TUNAYOJIFUNZA KATIKA BIBLIA

  • Mungu anataka kuwa Rafiki yetu.—Yakobo 4:8.

  • Akiwa Rafiki yetu, Mungu yuko tayari kutusaidia na kutusamehe.—Zaburi 86:5.

  • Rafiki za Mungu hupenda mambo anayopenda na kuchukia mambo anayochukia.—Waroma 12:9.

Ili kupata habari zaidi kuhusu jinsi unavyoweza kuishi kwa njia inayompendeza Mungu, soma sura ya 12 ya kitabu Biblia Inatufundisha Nini? kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova. Pia kinapatikana kwenye www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki