Mikutano ya Utumishi wa Shambani
Novemba 4-10: Utaelekezaje fikira kwenye Biblia?
(a) Katika utangulizi wako wa maandiko?
(b) Katika kutumia maandiko?
Novemba 11-17: Zungumzeni jinsi ya kuanzisha mafunzo ya Biblia kwa njia ya moja kwa moja, mkitumia
(a) Trakti.
(b) Kitabu God’s Word.
(c) Broshua “Tazama!”
Novemba 18-24: Faida za kazi ya nyumba kwa nyumba
(a) Kwa nini sisi hutumia njia hii? (Mdo. 5:42; 20:20)
(b) Ni mambo gani uliyoona karibuni ambayo ulifurahia?
Novemba 25-Desemba 1: Ni faida zipi zilizoko katika kufanya kazi
(a) Pamoja na vikundi vya katikati ya juma?
(b) Pamoja na wengine katika kikundi chako cha funzo la kitabu katika miisho juma?
(c) Katika kutoa ushuhuda wa jioni pamoja na kikundi mahali inapowezekana?