HAZINA ZA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 5-8
Nehemia Alikuwa Mwangalizi Mzuri Sana
Tishri 455 K.W.K.
Inawezekana kwamba katika tukio hili, Nehemia aliwaambia watu wakusanyike kwa ajili ya ibada ya kweli
Watu walifurahia sana
Vichwa vya familia walikusanyika ili kujua jinsi wanavyoweza kufuata Sheria ya Mungu kwa ukaribu zaidi
Watu walijitayarisha kusherehekea Sherehe ya Vibanda yenye kufurahisha