HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MHUBIRI 1-6
Ona Mema kwa Ajili ya Kazi Yako Yote Ngumu
Yehova anataka tufurahie kazi zetu na anatufundisha jinsi ya kufanya hivyo. Mtu anaweza kujifunza kufurahia kazi yake ikiwa atakuwa na mtazamo mzuri kuhusu kazi hiyo.
Unaweza kufurahia kazi yako ikiwa . . .
utasitawisha mtazamo mzuri
utafikiria jinsi kazi yako inavyowasaidia wengine
utafanya kazi kwa bidii, lakini ukitoka kazini kazia uangalifu familia yako na ibada yako