Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Januari uku. 6
  • Yesu Aliwapenda Watu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yesu Aliwapenda Watu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Yesu Kristo
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Januari uku. 6
Yesu akimponya mtu mwenye ukoma

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATHAYO 8-9

Yesu Aliwapenda Watu

Mathayo sura ya 8 na 9 zinaonyesha sehemu fulani ya huduma ya Yesu katika eneo la Galilaya. Yesu alipowaponya watu, alionyesha nguvu zake, lakini jambo muhimu hata zaidi ni kwamba alionyesha upendo na huruma kwa ajili ya wengine.

  1. Majiji ya Galilaya ambapo Yesu aliwaponya wagonjwa

    Yesu alimponya mtu mwenye ukoma.—Mt 8:1-3

  2. Yesu alimponya mtumishi wa ofisa wa jeshi.—Mt 8:5-13

    Alimponya mama mkwe wa Petro.—Mt 8:14, 15

    Aliwafukuza roho waovu na kuponya watu waliokuwa wakiteseka.—Mt 8:16, 17

  3. Yesu alifukuza roho waovu wakali sana, na wakaingia ndani ya kundi la nguruwe.—Mt 8:28-32

  4. Yesu alimponya mtu aliyepooza.—Mt 9:1-8

    Alimponya mwanamke aliyegusa vazi lake, na akamfufua binti ya Yairo.—Mt 9:18-26

    Aliponya vipofu na mabubu.—Mt 9:27-34

  5. Yesu alitembelea majiji na vijiji, akiponya kila aina ya ugonjwa na kila aina ya udhaifu.—Mt 9:35, 36

Ninaweza kuwaonyeshaje upendo na huruma zaidi wale wanaonizunguka?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki