Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Julai uku. 14
  • Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Mambo Tunayojifunza Katika Kitabu cha Nehemia
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo (2016)
  • Mmetakaswa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Waimarishe Wengine Wakati wa Taabu
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • “Shangwe ya Yehova Ndiyo Ngome Yenu”
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Julai uku. 14
Nehemia akirusha vyombo vya Tobia nje ya chumba cha kulia chakula katika hekalu.

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Uwe Mshikamanifu kwa Yehova Unapochagua Marafiki

Waamoni na Wamoabu hawakuruhusiwa “kuingia katika kutaniko” kwa sababu zamani walikuwa wamewapinga watu wa Mungu (Ne 13:1, 2; it-1 95 ¶5)

Kuhani Mkuu Eliashibu alimruhusu Mwamoni kutumia chumba cha kulia chakula katika hekalu (Ne 13:4, 5; w13 8/15 4 ¶5-6)

Nehemia alionyesha ushikamanifu kwa Yehova kwa kukomesha mpango ambao Eliashibu alikuwa amefanya na adui ya Mungu (Ne 13:7-9)

Tukichagua marafiki wasiompenda Yehova, je, kweli sisi ni washikamanifu kwa Yehova?​—w96 3/15 16 ¶6.

JIULIZE, ‘Yehova anahisije kuhusu watu niliochagua kuwa marafiki wangu?’

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki