Utangulizi
Je, mambo yanayotukia ulimwenguni leo yanaonyesha kwamba mwisho wa dunia uko karibu? Ikiwa ndivyo, tunaweza kufanya nini ili tuokoke mwisho wa dunia utakapofika? Ni nini kitakachotokea baada ya mwisho wa dunia? Tutapata majibu ya Biblia yenye kufariji kwenye makala zinazofuata.