Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • yb14 kur. 2-3
  • Andiko La Mwaka Wa 2014

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Andiko La Mwaka Wa 2014
  • 2014 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
  • Habari Zinazolingana
  • Je, Ufalme wa Mungu Ni Hali ya Moyoni Tu?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Matukio Yanayoongoza Kwenye Huduma ya Yesu
    Yesu—Njia, Kweli, na Uzima
  • Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme​—⁠Inakuhusuje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Ufalme wa Mungu Watawala
    Ujuzi Uongozao Kwenye Uhai Udumuo Milele
Pata Habari Zaidi
2014 Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehovah
yb14 kur. 2-3
Picha ya ukurasa mzima wa 2, 3

Andiko La Mwaka Wa 2014

“Ufalme Wako na Uje.”​—Mathayo 6:10

Miaka mia moja hivi iliyopita, Yehova alimtawaza Yesu kuwa Mfalme mbinguni. Tangu wakati huo, watumishi wa Mungu wamekuwa na bidii ya kuwajulisha watu kuhusu baraka ambazo Ufalme wa Kristo utaleta. Hebu wazia! Chini ya utawala wa Yesu, Mfalme mwenye upendo, dunia itakuwa paradiso, na kujaa watu wanaopendana kikweli. Hakutakuwa na uhalifu, kupigana, magonjwa, kuteseka, na kifo.

Hivi karibuni, baraka hizo zitatimia. Ufalme wa Mungu ni utawala halisi, nao utakuja na kutimiza mambo yote ambayo Yehova amekusudia. Sali Ufalme wa Mungu uje, waambie wengine kuuhusu, na endelea kuthamini mambo ambayo Ufalme huo utakufanyia.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki