Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ijwbq makala 8
  • Je, Mungu Anaishi Mahali Hususa?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Mungu Anaishi Mahali Hususa?
  • Maswali ya Biblia Yajibiwa
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Jibu la Biblia
  • Je, Mungu Anakaa Mahali Pamoja?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Je, Mungu Yuko Kila Mahali?
    Amkeni!—2005
  • Mbingu
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Ukweli Kuhusu Mbingu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
Pata Habari Zaidi
Maswali ya Biblia Yajibiwa
ijwbq makala 8
Jua likitua juu ya milima

Je, Mungu Anaishi Mahali Hususa?

Jibu la Biblia

Ndiyo. Mungu anaishi mahali hususa—anaishi mbinguni. Fikiria mistari ifuatayo ya Biblia:

Katika sala, Mfalme Solomoni alisema: “Basi na usikilize ukiwa mbinguni, makao yako yaliyofanywa imara.”—1 Wafalme 8:43.

Yesu Kristo aliwafundisha wanafunzi wake kuelekeza sala zao kwa ‘Baba yao aliye mbinguni.’—Mathayo 6:9.

Baada ya Yesu kufufuliwa, aliingia “mbinguni kwenyewe, ili sasa aonekane mbele za uso wa Mungu.”—Waebrania 9:24.

Mistari hiyo inaonyesha waziwazi kwamba Yehova Mungu ni mtu halisi na kwamba haishi kila mahali, bali anaishi mbinguni peke yake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki