23 Nawe Kapernaumu,+ je, utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka mpaka Kaburini;*+ kwa sababu kama matendo yenye nguvu yaliyofanywa ndani yako yangefanywa huko Sodoma, jiji hilo lingekuwepo mpaka leo hii.
23 Na wewe, Kapernaumu,+ je, labda utainuliwa mpaka mbinguni? Utashuka+ chini mpaka katika Kaburi;*+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zilizofanyika ndani yako zingalifanyika Sodoma, lingalidumu mpaka leo hii.