Mathayo 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Walipofika karibu na umati,+ mtu fulani akamkaribia Yesu, akapiga magoti, na kusema: Mathayo 17:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao walipofika mahali ulipokuwa umati,+ mtu fulani akamkaribia, akampigia magoti, na kusema: