Marko 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo, basi akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo hayo katika mioyo yenu?+ Marko 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+
8 Lakini mara moja Yesu akatambua rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo, basi akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo hayo katika mioyo yenu?+
8 Lakini Yesu, baada ya kutambua mara moja rohoni mwake kwamba walikuwa wakiwaza hivyo ndani yao wenyewe, akawaambia: “Kwa nini mnawaza mambo haya mioyoni mwenu?+