Marko 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Baada ya kuuaga umati, wakaenda pamoja na Yesu katika mashua, kama alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+ Marko 4:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Kwa hiyo, walipokuwa wamekwisha kuuruhusu umati uondoke, wakamchukua katika mashua, kama vile alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:36 Yesu—Njia, uku. 113 Mnara wa Mlinzi,5/1/1987, uku. 9
36 Baada ya kuuaga umati, wakaenda pamoja na Yesu katika mashua, kama alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+
36 Kwa hiyo, walipokuwa wamekwisha kuuruhusu umati uondoke, wakamchukua katika mashua, kama vile alivyokuwa, na kulikuwa na mashua nyinginezo pamoja naye.+