Marko 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawafuati mapokeo ya mababu zetu, bali wanakula kwa mikono isiyo safi?”+ Marko 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa hiyo Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawajiendeshi kulingana na mapokeo ya watu wa zamani, bali hula mlo wao kwa mikono iliyo najisi?”+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:5 Mnara wa Mlinzi (Funzo),8/2016, uku. 30 Yesu—Njia, uku. 136 Mnara wa Mlinzi,11/1/1987, uku. 8
5 Basi Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawafuati mapokeo ya mababu zetu, bali wanakula kwa mikono isiyo safi?”+
5 Kwa hiyo Mafarisayo na waandishi hao wakamuuliza: “Kwa nini wanafunzi wako hawajiendeshi kulingana na mapokeo ya watu wa zamani, bali hula mlo wao kwa mikono iliyo najisi?”+