Marko 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi Yesu akauita tena umati, akawaambia: “Nisikilizeni, ninyi nyote, na mwelewe maana yake.+ Marko 7:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo, akiuita tena umati kwake, akaendelea kuuambia: “Nisikilizeni, ninyi nyote, mpate maana.+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:14 Mnara wa Mlinzi,11/1/1987, uku. 8
14 Kwa hiyo, akiuita tena umati kwake, akaendelea kuuambia: “Nisikilizeni, ninyi nyote, mpate maana.+