Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+ Marko 12:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+
12 Ndipo wakataka kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba mfano aliosema uliwahusu. Basi wakamwacha na kwenda zao.+
12 Ndipo wakaanza kutafuta jinsi ya kumkamata, lakini waliuogopa umati, kwa maana walijua kwamba alitoa mfano huo juu yao. Kwa hiyo wakamwacha, wakaenda zao.+