34 Yesu alipotambua kwamba amejibu kwa kutumia akili, akamwambia: “Wewe huko mbali na Ufalme wa Mungu.” Lakini hakuna mtu aliyethubutu tena kumuuliza swali.+
34 Ndipo Yesu, akitambua kwamba alikuwa amejibu kwa kutumia akili, akamwambia: “Wewe huko mbali na ufalme wa Mungu.” Lakini hakuna mtu aliyekuwa tena na moyo wa kumuuliza swali.+