Marko 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Basi Pilato akitaka kuuridhisha umati, akawafungulia Baraba; akaagiza Yesu apigwe mijeledi,+ kisha akamtoa ili auawe kwenye mti.+ Marko 15:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:15 Yesu—Njia, uku. 294 Mnara wa Mlinzi,1/1/1991, uku. 9
15 Basi Pilato akitaka kuuridhisha umati, akawafungulia Baraba; akaagiza Yesu apigwe mijeledi,+ kisha akamtoa ili auawe kwenye mti.+
15 Ndipo Pilato, akitaka kuuridhisha umati,+ akawafungulia Baraba, na, baada ya kuagiza Yesu apigwe mijeledi, akamtoa ili atundikwe mtini.+