21 Pia, wakamlazimisha mpita njia afanye utumishi, mtu fulani aitwaye Simoni wa Kirene, baba ya Aleksanda na Rufo, aliyekuwa akitoka mashambani, aubebe mti wa mateso* wa Yesu.+
21 Pia, wakamlazimisha mpita-njia afanye utumishi, mtu fulani anayeitwa Simoni, wa Kirene, aliyekuwa akija kutoka mashambani, baba ya Aleksanda na Rufo, kwamba aubebe mti wake wa mateso.+