12 Pindi nyingine alipokuwa katika jiji fulani, tazama! kulikuwa na mwanamume aliyejaa ukoma! Alipomwona Yesu, akajiangusha kifudifudi na kumwomba: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
12 Pindi nyingine alipokuwa katika moja kati ya majiji hayo, tazama! mwanamume mwenye kujaa ukoma! Alipomwona Yesu akajiangusha kifudifudi akamwomba, akisema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+